Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,300
- 5,408
Habari,
Naomba msaada kidogo wanajukwaa.
Nilikuwa na tatizo kwenye cheti cha kuzaliwa na nimefanikiwa kupata deed poll tayari.
Je, natakiwa niipeleke RITA kuhakikiwa au naituma heslb moja kwa moja mda wa kuapply mkopo?
Msaada wakuu
Naomba msaada kidogo wanajukwaa.
Nilikuwa na tatizo kwenye cheti cha kuzaliwa na nimefanikiwa kupata deed poll tayari.
Je, natakiwa niipeleke RITA kuhakikiwa au naituma heslb moja kwa moja mda wa kuapply mkopo?
Msaada wakuu