WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 623
Hivi hiyo postcode ni ipi jamani maana niliwahi sikia Tanzania hamna hivo vituHatua ya kwanza jisajili kwenye mtandao unaotaka kununua bidhaaa,eg AliExpress
Humo utajaza data zako fresh ikiwepo na adress yako bila kukosea postcode ya eneo lako
Hatua ifuatayo,fanya manunuzi ,tumia mpesa mastercard kufanya payments ni rahisi sana..
Subiria mzgo wako huku ukiwa una utrack,ukifka posta nenda na ID yako utapewa furushi lako.