mwenye uwezo wa ku unlock simu hiyo, Tafadhali Naomba msaada.
Pole nilipata tatizo hilo hilo na HTC yangu. Yangu ni htc T Mobile. Kama iko sawa na yangu bonyeza knob ya pili baada ya ile ya kijani ya kupigia, then bonyeza herufi A pana picha ya kufuli. Kama iko tofauti pole. Ila kuna vijana watundu na simu utapata msaada tu.
mwenye uwezo wa ku unlock simu hiyo, Tafadhali Naomba msaada.