Msaada: Kinyama kimeota sehemu za siri

Bawasiri iyo chukuwa utomvu wa alovera mpake siku mbili njoo ulete mrejesho ,kinauma kweli kikichanganya anakalia tako moja,
 
Habari zenu wana Jamvi, samahanini kidogo niwatake wenye kujua suala hili waweze kunijuza na namna linaweza kutatuliwa.

Jambo lenyewe ni kuhusu Afya ya uzazi wa mwanamke, mimi mke wangu katika sehemu zake za siri (ukeni) kuna kama kinyama kimeota na humsababishia maumivu Makali Wakati wa kushiriki tendo la ndoa na pia huwa ni sababu ya manii kushindwa kuingia ukeni kwa ajili ya kutungisha mimba, bimaana manii yakitaka kuingia huzuiliwa na hicho kinyama hivo kumwagika tena nje.

Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi wa hilo, kama naweza fahamu sababu, na pia namna ya kusolve hilo tatizo.

Nawasilisha
Mkuu bila kupepesa macho hapo ni vita ya kiroho hiyo. Mpeleke Kimara Temboni kwa Mwl Mussa Richard Mwacha Kuna vifaa vya kiroho atapewa na kuanza kutumia najua atapona. Muwe na imani tu. #poleni
 
Hiyo vagina tampodrat inabidi afanyiwe defraitotion. Madaktari wengi hawajui
 
Humu Kuna watu wajinga kwa sababu wanakwambia ni bawasirikwani imetoka mkunduni?

Yani hizo nyama nishawahi ona kwenye kipindi flan Cha embarrassing bodies hizi case na zote zinatibuwa kwa operation. .



Inawezekana isiwe kesi ya vagina prolapse nenda kwa daktari utajua vizuri. Nimeweka ka video uone vagina prolapse ikoje. .
 
Mambo serious kama haya inatakiwa yaanzie hospitali kwanza ndugu. Kuleta huku utakutana mijitu mingine ina mambo ya ajabu sana. Mfano ni hao wanaodai uweke picha.
 
Nikajua kipo tundu la haja kubwa,Kuna Dem wangu mmoja anacho tundu la haja kubwa,huwa namlamba,nakibana na midomo,nakivuta,nakiachia kinalia taa...kwenye ngono Kuna uhayawani Sana!!
Watu acheni tu mchele kilo iwe 2700 -3000 na sabuni iwe kipande kiwe 700 kwa maisha ya sasa.......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom