Signal tunner imefarikiHabari za wakati wana jamii forum.....king'amuzi changu cha azam ghafla kimegoma kuonesha ili hali kila kitu kiko sawa kwa maana nkifunga kingine kina fanya kazi vizuri tu je shida inaweza kua nini hapo? View attachment 1948416
ndo hki hki kidude chenyewe..😁Signal tunner imefariki
😁😁😁 sema shida sio cable wala pin kuregea maana nikifunga kingine kinaonesha safi tu ila hiki hamnakam tv yko sio flat haiwezekani mkuu..😅 (Utani tu ndugu) mbaka error ina tokea kweny screen means kweny cable na na tv vpo sawa, cheki connection ya cable kama imelegea pin au haipo tight! then kata kipande cha wirw kwenye kichwa na ufunge tena! jaribu hvyo kwanza
Bando kivipi yan?Bando
Kama upo mikoani tembelea kwa mawakala wa azam, watakupa muongozo wa jinsi ya kukifikisha dar, wanakitengeneza buree, na kama upo dar, nenda ofisi zao pale tazara, watakirekebisha.Yah hapo naweza kukubaliana na wewe maake nkifunga king'amuzi kingine kina piga kazi fresh tu.... Swala inakuja je ina rekebishika?
Jamaa wana nambiaa nikipeleke tazara wakiangalie kwa maana nikisafirishe toka mkoaWasiliana na mtoa huduma wako au disconnect decoder yako then uconnect tena.Kuna mda signal zinapotea kutokana na hali ya hewa au mtoa huduma ndio tatizo lipo kwake.
Itabid tu niki safirishe maake ndo walivo nambia pia customer serviceKama upo mikoani tembelea kwa mawakala wa azam, watakupa muongozo wa jinsi ya kukifikisha dar, wanakitengeneza buree, na kama upo dar, nenda ofisi zao pale tazara, watakirekebisha.
Fanya hivyo, kwani hao mafundi wengine wataenda kukiua kabisa!!kama mwezi mmoja na nusu uliopita timu ya mafundi walizunguka baadhi ya mikoa na kutengeneza.Itabid tu niki safirishe maake ndo walivo nambia pia customer service
Yeah, sema pia wana mawakala wao mikoani jaribu kuangalia kama mkoa uliopo kuna wakala maana wanakuwa na mafundi pia.Ila kama wamekueleza hivyo basi fanya ufike ofisin kwao.Jamaa wana nambiaa nikipeleke tazara wakiangalie kwa maana nikisafirishe toka mkoa