Mimi naishi Tanga mjini natumia king'muzi ch star times. Juzi nilikuwa Dar nikuta jamaa anatumia star times na mlendani kuna channels za ITV na STAR TV zikofiti zinaonekana. Lakini huku Tanga hatupati hizi loca channels zaidi ya tbc na channei 10. Naomba kufahamishwa tatizo ni lipi na je nikitaka kupata ITV na STAR tv nifanyeje? Tafadhali naomba msaada wenu