Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,624
- 10,679
Wadau, wajuvi na wenye uelewa na uzoefu wa idara hii ya vinga'muzi naombeni ushauri wenu
Nahitaji king'amuzi bora kabisa ambacho sihitaji kulipia chochote kwa mwezi na nitaweza kupata chaneli kadhaa za bure zikiwemo chaneli zetu za kibongo
Si hitaji makuu sana ila naamini visimbuzi hivi vinatofautiana ubota na upatikanaji wa chaneli za FTA
Naomba share na mimi ili nichukue nipate habari
Itakua bora zaidi kama utaambatanisha na garama zake na mahali vinapatikana na chaneli zinazo weza kipatikana
Nahitaji king'amuzi bora kabisa ambacho sihitaji kulipia chochote kwa mwezi na nitaweza kupata chaneli kadhaa za bure zikiwemo chaneli zetu za kibongo
Si hitaji makuu sana ila naamini visimbuzi hivi vinatofautiana ubota na upatikanaji wa chaneli za FTA
Naomba share na mimi ili nichukue nipate habari
Itakua bora zaidi kama utaambatanisha na garama zake na mahali vinapatikana na chaneli zinazo weza kipatikana