Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Ndugu zanguni naombeni msaada wenu tafadhali.
Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu.
Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani shamba nimeshapata tayari. Naheshimu mawazo yenu sana na naamini mtanipa mawazo yanayojenga. Na faida yake ipoje kwa ekari moja.
Thnx in advance
===============================================
MASWALI MENGINE KUHUSU BIASHARA HII
=============================================
Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu.
Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani shamba nimeshapata tayari. Naheshimu mawazo yenu sana na naamini mtanipa mawazo yanayojenga. Na faida yake ipoje kwa ekari moja.
Thnx in advance
===============================================
MASWALI MENGINE KUHUSU BIASHARA HII
=============================================
Poleni na majukumu wakuu wa jamvi hili maridhawa.
Naomba mwenye utaalamu juu ya kilimo cha matango anisaidie kujibu hoja zifuatazo:
1. Mbegu kiasi gani zinatosha heka moja.
2. Spacing yake kwenye upandaji ikoje?
3. Msimu mzuri wa kulima matango ni upi.
4. Mahitaji muhimu.
5. Wastani wa gharama za kulima heka moja.
6. Wastani wa mapato kwa heka moja.
Natanguliza shukrani za dhati kwa wote wakaochangia mawazo yao hapa. Ahsanteni sana.
Nawasilisha!