Mkuu nitafika hapo muda ukifika,acha kwanza nipambane shambani...kwa kweli umeniongezea nguvu ya ziada,aksante sana.hii kitu ina pesa we acha tu
njoo soko la tandale au mabibo kiroba huwa kinafika hadi 80,000
Na ukiliacha kidogo shambani linakomaa, kama unavyosema nidhamu inabidi iwe ya hali ya juu, kuvuna ni kila baada ya siku 2/3.Nikweli alichosema Sky huwezi kuchuma bamia alafu ndio uanze kutafuta soko, bamia nimoja ya zao linahitaji nidhamu ya muda ya hali ya juu, lazima kuwa na soko ili kuweza kulichuma kwa wakati, Msingi mkuu ni kuchuma unapokuwa na mteja ili usiliuze likiwa limeanza kunyauka, na usipo kwenda na muda kinyume chake ukichelewa litakomaa shambani.
Mkuu Niko mbezi ntakutafuta aseehili.zao lina pesa we acha tu nililima kwa majaribio kila baada ya siku mbili navuna kisado na nauza 4000
nipo kiluvya.dsm
Aksante Sana Kwa Ushauri Nitazingatia HiloNilifanya kilimo cha bamia, halikawii kupoteza nuru baada ya kuchumwa kutoka shambani, hakikisha unakuwa na wateja especially gengeni watakao chukua jumla kila unapochuma fresh na uwe na usafiri.
mambo yalienda poa kiasi, nimevuna vuna nikauza kuna jamaa wanafuata maeneo yashambani ila sijafuatilia tena kutokana na mambo kuingiliana.Mkuu Hornet hali vipi? Mrejesho please. Mambo yaliendaje...!
nilipanda heka 2tu.Ulilima kiasi gani mkuu
nimekumiss sana.Msimu wa kulima bamia ni UPI? He naweza kulima Kibaha kwenye eneo LA hela 3.5 kwa maji ya mvua?
Mashine ya kupulizia dawa (solo) linauzwa 35000/= lenye ujazo wa lita 16. Kwanini usinge nunua ili kupunguza cost nyingine? Mimi nalima kipindi cha kiangazi na wala sio masika, pia ukizungumzia kuhusu nyanya bado ukungu na utitiri mwekundu hushambulia.Mkuu umeelezea kwa uzoefu sana unaonekana unalima sana.
Tuma pic ya aina ya mbegu uliyo panda mkuu yaani lile box lake maana kuna mbegu za aina nyingiMkuu Hornet hali vipi? Mrejesho please. Mambo yaliendaje...!