Katunzi wa mbagala ?kwan mleta mada yupo dar au kigonaUnataka kupona hilo?mtafute mchungaji katunzi wa eagt city center nenda hapo kanisani tu hudhuria ibada utapona seriously nimeona wengi tu wakipona
Ni wa kutisha ama ni warembo ma beutifuly kinyama?Mkushi si wanasemaga mkitumia vitu vyenu vya kikush hawasogei? By the way ww ulitii matakwa yao hao viumbe n wajanja Sana na sku ukimwona live utajutia utam uliokua unauskia n viumbe was ajabu sana
Sasa sababu gani ilifanya wake zako wafanye yaliyokushinda kuwavumilia kama siyo uzinzi?Hapana mkuu najua kuwa nipo na Nani wakat huo na Niko na afya njema ya kumridhisha mamaake mpaka akakata kiu yake bila Shaka Hilo haliwezekani maana dozi zinagaiwa sawasawa Kila mmoja na njaa yake
nawashukuru wote mliochangia humu kweny uzi huu,nimepata mtu humuhumu ambaye Ni mtaalam nmemtembelea na amenisaidia kutimiza yote niliyokuwa nataka yaweSasa sababu gani ilifanya wake zako wafanye yaliyokushinda kuwavumilia kama siyo uzinzi?
Mwenyewe umekiri kwa maandishi kuwa ulikuwa ukiwapiga 'shoo' za kibabe lakini wakiamka wala wasikumbuke chochote na 'lust' zao kubakia vile vile kiwango cha lami?...
mkuu ushoga umri gani unakua mzuri? 😄😄😄Siongei sana ...ila ushoga wa ukubwani mbaya maana unakuwa na ulimbukeni...
😄😄😄 kwa hyo ajiandae kama bado?.Ulikuwa unakata mauno? Pole sana, hao viumbe wana jinsia mbili mkuu, inawezekana mnafanya kwa zamu, siku unagonga siku unag.... Na kama zamu yako bado jiandae
Nilimgonga dem kapandisha majini.
Aivotaka kunizingua nikamtwanga makofi ,nikamwonya jini wake aache kuingilia utam wangu.
Nikala tena na majini yanaendelea kiongea.
Siku alipotaka nimkule tena nikakataa kwani sikuona raha kukuka kitu mtu anaongeaongea.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app