Msaada kidogo, hii kitu nyie huwa mnatumiaje

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,531
44,641
771b67124671e5ef3e1977c799175473.jpg

Habari zenu wakuu
Nipo sehemu ambayo nimekuta hiki kifaa kwenye maliwato lakini kinanipa utata kidogo. Naomba kujua matumizi sahihi na namna ya kutumia.. JE mikono inakuwa na kazi au chenyewe tu kinatosha.. Kizuri sana hiki kidude nimekipenda sana
uploadfromtaptalk1461747110787.jpg
 
We ni mshamba lakini nimekupenda maana unapenda kujifunza. yaani hadi umepata muda wa kupiga picha.
Hii ni bomba ya maji ya kuflashia choo. ukikandamiza hako kamshikio ka chuma maji yanatoka na kuflash choo ka raha zako
 
inaitwa shataf. inatumika kwa ajili ya kunawia, kujisafisha au hata kusafisha sehemu kama choo, floor nk.
kwa mazingira yenye maji yenye pressure basi nacho hua na pressure kubwa.
sijui hua wengine wanafanyaje kwenye kujisafisha baada ya kujisaidia. ila nafkiri ni hygenic kutumia kwanza tissue kutoa uchafu then yafwate maji kujisafisha vizuri then lifwate taulo kujikausha. unawe mikono na sabuni then ujikaushe na taulo pia. pungufu ya hapo.. ni uchafu!
 
Back
Top Bottom