Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,160
Wakuu
Hahaha! acha tu nicheke kwanza
Gf wangu jana alinambia kuwa bundle lake limeisha na sms alontumia ndo ya mwisho.
Mie nikamjibu "Poa ngoja nitoke mishe ntakuwezesha"
Lakini kabla ya kumtumia nikakumbuka kwamba mara mwisho nlomnunulia kifurushi mwezi haujafika inakuaje aseme kifurushi kimeisha?
Nikasema ebu ngoja nimtxt kwa namba ngeni asiyoijua,Cha ajabu alijibu vizuri tu na tukaendelea chats akitaka kunifahamu
So Nimewaza sana kwanini kanidanganya? mpaka sasa yuko kimya tangu jana hatujawasiliana anasubiri nimtumie
Kuna upendo kweli hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha! acha tu nicheke kwanza
Gf wangu jana alinambia kuwa bundle lake limeisha na sms alontumia ndo ya mwisho.
Mie nikamjibu "Poa ngoja nitoke mishe ntakuwezesha"
Lakini kabla ya kumtumia nikakumbuka kwamba mara mwisho nlomnunulia kifurushi mwezi haujafika inakuaje aseme kifurushi kimeisha?
Nikasema ebu ngoja nimtxt kwa namba ngeni asiyoijua,Cha ajabu alijibu vizuri tu na tukaendelea chats akitaka kunifahamu
So Nimewaza sana kwanini kanidanganya? mpaka sasa yuko kimya tangu jana hatujawasiliana anasubiri nimtumie
Kuna upendo kweli hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app