Msaada katika hili, je ana mimba kweli?

sirnare

Senior Member
Nov 27, 2016
120
23
Habari za wakati huu wanajf:
Naombeni uelewa ktk hili:-

Nimekua na mahusiano na msichana mmoja wa kichaga tangu November 2015 tukiwa first year UDOM. Nimekuwa 'nikifanya' nae mara kadhaa ila mimi sijawahi kutumia salama. Juzi kati nikaomba nifanye nae akakubali na nilimuuliza unaeleewa uko katika wakati gani kwa sasa? Akadai yuko free na kwa hivyo hakuna shida.

Tukafanya hivo ila baada ya siku mbili mbele akasema anaumwa tumbo, nikamuuliza unaumwa kiaje? Akanijibu nahisi ni mimba. Sasa naomba mnieleweshe katika free days mwanamke anaweza kushika mimba? Na kama ndyo dalili za mimba zinaonekana muda gani baada ya tendo???

Nawasilisha!
 
Habari za wakati huu wanajf:
Naombeni uelewa ktk hili:-

Nimekua na mahusiano na msichana mmoja wa kichaga tangu November 2015 tukiwa first year UDOM. Nimekuwa 'nikifanya' nae mara kadhaa ila mimi sijawahi kutumia salama. Juzi kati nikaomba nifanye nae akakubali na nilimuuliza unaeleewa uko katika wakati gani kwa sasa? Akadai yuko free na kwa hivyo hakuna shida.

Tukafanya hivo ila baada ya siku mbili mbele akasema anaumwa tumbo, nikamuuliza unaumwa kiaje? Akanijibu nahisi ni mimba. Sasa naomba mnieleweshe katika free days mwanamke anaweza kushika mimba? Na kama ndyo dalili za mimba zinaonekana muda gani baada ya tendo???

Nawasilisha!
after one week akipima na upt anaweza kugundua ila dalili zakujionesha kabisa hawezikuona mpka week ya pili au tatu na hata mwez kabisa
 
Habari za wakati huu wanajf:
Naombeni uelewa ktk hili:-
Nimekua na mahusiano na msichana mmoja wa kichaga tangu November 2015 tukiwa first year udom
Nimekua nikifanya nae Mara kadhaa ila Mimi sijawahi kutumia salama juzi kati nikaomba nifanye nae akakuba. Na nilimuuliza unaeleewa uko ktk wkt gani kwa sasa? akadai yuko free na kwa hivyo hakuna shidah
Tukafanya hivo ila baada ya siku mbili mbele akasema anaumwa tumbo nikamuuliza unaumwa kiaje??? Akanijibu nahic ni mimba sasa naomba mnieleweshe ktk free days mwanamke a naweza kushika mimba??? Na kama ndyo dalili za mimba zinaonekana muda gani baada ya tendo???
Nawasilisha!!!!!!!
Ushaambiwa mimba,hapo jipange tu hao viumbe wajanja sana alikuona hauelewek, akaamua akuganyie hvyo ili utulie
 
Mwandiko wa mwanafunzi wa chuo huu. Acheni kushinda fb,shindeni library kujisomea vitabu vya riwaya, novel na masomo yenu. Ona sasa unavyozidi haribu sifa ya Udom.
Siku hizi mtu akishamaliza form six kuingia chuo basi anakurupukia mapenzi kwa fujo,hela hana ni kitegemezi kwa wazazi au bodi ya mikopo.
 
Mwandiko wa mwanafunzi wa chuo huu. Acheni kushinda fb,shindeni library kujisomea vitabu vya riwaya, novel na masomo yenu. Ona sasa unavyozidi haribu sifa ya Udom.
Siku hizi mtu akishamaliza form six kuingia chuo basi anakurupukia mapenzi kwa fujo,hela hana ni kitegemezi kwa wazazi au bodi ya mikopo.
Hayo yote ya kweli ilah mambo yameharibika ni yameharibika tu cha muhimu changia mawazo yako
 
MVULANA: Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI: Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!

MVULANA: Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI: Nashukuru umeelewa somo!!
Hayo yote ya kweli ilah mambo yameharibika ni yameharibika tu cha muhimu changia mawazo yako
 
Sorry kama nitakuudhi UMEFIKA HADI UNIVERSITY BADO HUJAJUA HAYA MAMBO AU
Vitu vingine havitakagi ujuaji!!!
Hivyo nikaamua kuomba ushauri kwa kweli sielewi chochote kuhusu hili yaani free days then mimba tena after two days hili geni kwangu. Hebu nisaidie
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom