Msaada: Kanguru wanafukua mahindi shamba lote

Tangantika

JF-Expert Member
Aug 12, 2018
4,942
6,183
Jamani dunia inamajaribu kila ukijaribu kujikwamua kinaibuka kikwazo ufeli, Kunguru wanafukua mahindi yanayoanza kuota, wamekula shamba zima.

Mwaka Jana panya walikagua kula mstari na kula mahindi yote niliopanda.Msaaada wa kuwadhibiti hawa viumbe.

Panya nilijaribu kumwaga mahindi ya sumu hawakula na wakila wanamenya ganda la nje hivyo waliwin battle, this year kunguru doa.

Kuna sehemu ninashamba kubwa ila nashindwa kupanda kuhofua mapanya na kwale kufaidi nguvu zangu, hivyo shamba 20acre virgin land limelala mwaka 2.

Nafikiria nifanyeje bado sijui jinsi ya kudhibiti hawa pests.MSAADA wa kiufundi.

Thanks.
 
Dah..
Pole. Hii inaitwa MCHANA NZI USIKU MBU.
Kuna vitu wakula hasa wa mwanzo huwa tukijazwa upepo na motivational speakers tunaingia kichwa kichwa.
Shirikisha wataalam wa kilimo na piq historia ya wenyeji wa eneo hilo huwa wanakabiriana na hii changamoto viti.
Ila pole mkuu, 'wachawi' wengi sana kila unapojaribu kutoboa wao wanaziba..
 
Sio mmoja wamealikna ukoo wote.
Ushauri mzuri ni kuwa, ulizia wenyeji, tafuta waelewa, wengine Wana Roho za kwanini, huwa wanashughulika vipi na hao kunguru.

All in all kumbuka shambani kuna michezo michafu pia, sijawahi sikia kunguru kufukua mahindi yaliyoota, Kware sawa. Rafu za kwenye uchaguzi, mpira wa miguu, huko nako ziko Sana. Pambana kiroho na kimwili pia
 
Tafuta ile mikanda ya video ya zamani chukua ule uzi wa ndani chomeka miti kuzunguka shamba af ufunge upepo ukivuma unatoa mlio so wataogopa ile saitipia katikati ya shamba simamisha miti kwa umbali af tundika manguo nguo watahisi mtu hawatatua
 
Watu wengine mna habari halafu mnazikalia.. ita vyombo vya habari! Kunguru kula mahindi hiyo ni "breaking news"
Kwa hio niite press conference.
Tafuta ile mikanda ya video ya zamani chukua ule uzi wa ndani chomeka miti kuzunguka shamba af ufunge upepo ukivuma unatoa mlio so wataogopa ile saitipia katikati ya shamba simamisha miti kwa umbali af tundika manguo nguo watahisi mtu hawatatua
Saw a nitajaribu japo kupata hizo tape kazi.Bado zipo mafukami kweli?
 
Ushauri mzuri ni kuwa, ulizia wenyeji, tafuta waelewa, wengine Wana Roho za kwanini, huwa wanashughulika vipi na hao kunguru.

All in all kumbuka shambani kuna michezo michafu pia, sijawahi sikia kunguru kufukua mahindi yaliyoota, Kware sawa. Rafu za kwenye uchaguzi, mpira wa miguu, huko nako ziko Sana. Pambana kiroho na kimwili pia
Mkuu ninavitu vizito,siraha za maangamizi nimepewa huko mwishi wa reli, tatizo shamba sio langu na vitu vyenyewe ni vya kudumu, nataka nikasimike shambani kwangu ambapo ni mbali sana na bado sijapaendeleza.
 
Anayejua zinakopatikana mbegu za nyanya kutoka kampuni ya Kibostar au Safa na bei zake tafadhali anijuze
 
Kabla ya kupanda, chovya baadhi ya Mbegu za mahindi kwenye dawa ya dudu killer, au DDT, au Kimatila alafu zitupe juu ya matuta au popote zinapo onekana ndani ya shamba lako.
Watazila watakufa wote baadae watalikimbia shamba.
Kila ukipanda endelea kutuba baadhi ya hizo mbegu sumu. Hadi waishe wote.
 
Kabla ya kupanda, chovya baadhi ya Mbegu za mahindi kwenye dawa ya dudu killer, au DDT, au Kimatila alafu zitupe juu ya matuta au popote zinapo onekana ndani ya shamba lako.
Watazila watakufa wote baadae watalikimbia shamba.
Kila ukipanda endelea kutuba baadhi ya hizo mbegu sumu. Hadi waishe wote.
Mkuu siwezi fungwa nikiu 100, maana wapo ukoo mzima na koo za majirani.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom