Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,942
- 6,183
Jamani dunia inamajaribu kila ukijaribu kujikwamua kinaibuka kikwazo ufeli, Kunguru wanafukua mahindi yanayoanza kuota, wamekula shamba zima.
Mwaka Jana panya walikagua kula mstari na kula mahindi yote niliopanda.Msaaada wa kuwadhibiti hawa viumbe.
Panya nilijaribu kumwaga mahindi ya sumu hawakula na wakila wanamenya ganda la nje hivyo waliwin battle, this year kunguru doa.
Kuna sehemu ninashamba kubwa ila nashindwa kupanda kuhofua mapanya na kwale kufaidi nguvu zangu, hivyo shamba 20acre virgin land limelala mwaka 2.
Nafikiria nifanyeje bado sijui jinsi ya kudhibiti hawa pests.MSAADA wa kiufundi.
Thanks.
Mwaka Jana panya walikagua kula mstari na kula mahindi yote niliopanda.Msaaada wa kuwadhibiti hawa viumbe.
Panya nilijaribu kumwaga mahindi ya sumu hawakula na wakila wanamenya ganda la nje hivyo waliwin battle, this year kunguru doa.
Kuna sehemu ninashamba kubwa ila nashindwa kupanda kuhofua mapanya na kwale kufaidi nguvu zangu, hivyo shamba 20acre virgin land limelala mwaka 2.
Nafikiria nifanyeje bado sijui jinsi ya kudhibiti hawa pests.MSAADA wa kiufundi.
Thanks.