Msaada: Kadi ya gari BMW X5 inahitajika

nyota79

Member
Jan 5, 2017
24
5
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
 
Sio gereji mkuu ni yard ya kuzia magari (show room)
Unataka kununua gar Ila hujui maana ya gari. Jiulize kwann hiyo gar haina kadi? Kadi ya gar nyingine itafananaje na hiyo? Na kama unacheza DILI ya wiz kwann unatangaza humu? Ukitafutwa ukakamatwa ukatakiwa uonyeshe hiyo yard yenye magar ya wiz huoni utamletea mwenye yard matatizo? Kuwa makin na fikir kabla ya kutenda. Nakushaur ufute huu Uzi mapema
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Hyo card ya x5 iliyokufa unayoitaka wewe zitafanana chasis number na hiyo unayotaka?
 
Unataka kununua gar Ila hujui maana ya gari. Jiulize kwann hiyo gar haina kadi? Kadi ya gar nyingine itafananaje na hiyo? Na kama unacheza DILI ya wiz kwann unatangaza humu? Ukitafutwa ukakamatwa ukatakiwa uonyeshe hiyo yard yenye magar ya wiz huoni utamletea mwenye yard matatizo? Kuwa makin na fikir kabla ya kutenda. Nakushaur ufute huu Uzi mapema
Dili ya wizi imetokea wapi? Au unafkr kila mtu ni mpiga dili humu? Kama huna msaada kwa nn usikae kimya tu?
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Polisi njooni huku kuna muhalifu 100%
 
Back
Top Bottom