aminah9
Member
- Oct 8, 2014
- 83
- 39
Waungwana naomba mawazo yenu ili nitatue hili tatizo langu la kusinzia maana linanikera sana yani nikikaa sehemu nikatulia nasinzia, nikiwa nasoma sms kwenye Sim nasinzia, nikijisomea gazeti au kuangalia TV tatizo ni hilo hilo jamani naomba mnishauri cha kufanya niondokane na hii kero