Msaada juu ya muda wa kumaliza mshindo mmoja

Granter

JF-Expert Member
Dec 11, 2016
483
361
Habari zenu wana forum,

Wale wataalamu wa Afya ya MAPENZI naombeni mnisaidie,
Katika sex game, My Girl always huwa ananifanyia kila ajualo hatimaye namaliza kabla ya real sex, hapo nayeye anakua kamaliza/taabani.

Baada ya hapo tuna anza Real sex, ambayo inaweza kudumu above an hour bila ya mimi kufika, huku yeye akiwa kamaliza kila kitu na kuchoka, je?
Hii hali hawezi nisababishia madhara ya kiafya hata kwa baadaye?

Nifanye nini ili niwe kawaida? Hata nikianza na Real sex, goli la pili lazima saa1 izidi, nisaidieni.
 
Habari zenu wana forum,

Wale wataalamu wa Afya ya MAPENZI naombeni mnisaidie,
Katika sex game, My Girl always huwa ananifanyia kila ajualo hatimaye namaliza kabla ya real sex, hapo nayeye anakua kamaliza/taabani.

Baada ya hapo tuna anza Real sex, ambayo inaweza kudumu above an hour bila ya mimi kufika, huku yeye akiwa kamaliza kila kitu na kuchoka, je?
Hii hali hawezi nisababishia madhara ya kiafya hata kwa baadaye?

Nifanye nini ili niwe kawaida? Hata nikianza na Real sex, goli la pili lazima saa1 izidi, nisaidieni.
Bro ngoja nkusaidie kitu, first of all mwanamke anaridhika ndani ya dakika 8 hadi 12 hizo zingine mbwembwe tu, but romance muhimu, lakini kusex kwa muda mrefu ni hatari kwa afya hasa kwa mwanaume, kusimamisha uume zaidi ya 45 minutes kunaweza kukuletea madhara katika misuli ya uume, misuli itawahi kuchoka, ndo maana ukisimamisha uume kwa mda mrefu uuma. So best way sex bao la kwanza kwa dk 15-20 more than apo mbwembwe tu
 
Hapana nadhan ugonjwa wake mdogo yan mie naweza kaaa mpaka nkakata tamaaa so labda nadhan mawazo au ukosefu qa spam
 
Bro ngoja nkusaidie kitu, first of all mwanamke anaridhika ndani ya dakika 8 hadi 12 hizo zingine mbwembwe tu, but romance muhimu, lakini kusex kwa muda mrefu ni hatari kwa afya hasa kwa mwanaume, kusimamisha uume zaidi ya 45 minutes kunaweza kukuletea madhara katika misuli ya uume, misuli itawahi kuchoka, ndo maana ukisimamisha uume kwa mda mrefu uuma. So best way sex bao la kwanza kwa dk 15-20 more than apo mbwembwe tu
Daah,dk 8 mpaka 12,sasa hiyo sio kuchafuana tu ?
 
No kwenye mapenzi kuna michezo/kuandaana xo mwandaane angalau dk 20_30 in sex ndo dakka 8_12
Mrembo,mimi huwa nafanya maandalizi ya uhakika,romance 2 hrs including maongezi ya hapa na pale na vinywaji,baada ya hapo atlest kwa uchache 30 minutes ni machezo.
 
Habari zenu wana forum,

Wale wataalamu wa Afya ya MAPENZI naombeni mnisaidie,
Katika sex game, My Girl always huwa ananifanyia kila ajualo hatimaye namaliza kabla ya real sex, hapo nayeye anakua kamaliza/taabani.

Baada ya hapo tuna anza Real sex, ambayo inaweza kudumu above an hour bila ya mimi kufika, huku yeye akiwa kamaliza kila kitu na kuchoka, je?
Hii hali hawezi nisababishia madhara ya kiafya hata kwa baadaye?

Nifanye nini ili niwe kawaida? Hata nikianza na Real sex, goli la pili lazima saa1 izidi, nisaidieni.
La kwanza hwaga halina mbwembwe dk 10 had 15 hyo ni kawaid tena ni safi coz mnakua hamjachoka hta game ikarudiwa tena....
La pili ndan ya dk 40 pia ni sawa coz ikizidi hapo hata girl anakauka ute na ni mbaya kwan anaweza chubuka hatimaye asifurahie tendo...
Thnxxx
 
wenzako wanaweka thread wanalalamika wanatamani wapate hali kama yako
we unataka uwe kama wao..!
muombe Mungu, unachokitaka utakipata..
Hofu yangu nipale nilie nae anasema,sifai anahisi namfanyia Kusudi, Basi nami nakosa Aman
 
Back
Top Bottom