Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,208
- 1,170
Wakuu heshima na iwe kwenu,
mimi nipo mkoani Rukwa kwa sasa na huku bajaji zimeshamiri kwelikweli na nimegundua jamaa wanapata shida kapata spea parts za bajaji. Na kilichopo huku jamaa wanapata spea parts baadhi kwa wauzaji wa spea za pikipiki.
So ninaomba msaada wenu wanajamvi nataka nifanye mpango wa kufika Dar kukusanya bidhaa ningependa kufahamu minimum Capital ni shiling ngapi na Maximum Capita ni shilingi ngapi inayotakiwa kuwekeza kwa faida.
Natanguliza shukrani za dhati.
mimi nipo mkoani Rukwa kwa sasa na huku bajaji zimeshamiri kwelikweli na nimegundua jamaa wanapata shida kapata spea parts za bajaji. Na kilichopo huku jamaa wanapata spea parts baadhi kwa wauzaji wa spea za pikipiki.
So ninaomba msaada wenu wanajamvi nataka nifanye mpango wa kufika Dar kukusanya bidhaa ningependa kufahamu minimum Capital ni shiling ngapi na Maximum Capita ni shilingi ngapi inayotakiwa kuwekeza kwa faida.
Natanguliza shukrani za dhati.