Hongera na ni haki yako kikatiba.
Nenda ofisi yoyote ya CCM iliyo karibu nawe
Anza kwanza kujifunza uchawi, umbea na majungu
Kisha malizia kujifunza taarabu then wenyewe watakutunuku kadi ya uanachama
Umesahau na suruali nyeusi. All in all...ukweli unabakia kiwa siasa ni biashara ya maana kwa nchi zetu masikiniShonesha shati la kijani alafu tafuta namba ya simu ya Mtela Mwampamba.
Sasa Nyani uende kwenye chama cha mafisi mtatubakizia hii nchi kweli?
hapo unapoishi hakuna hata mjumbe wa serikali za mtaa uliza tu ofis za Chama Cha Mapinduzi zilipo utafika, karibu sana usisikilize maneno ya kihuni humu JF kuna watu wamenunuliwa wahi kachukue kadi yako mama tuijenge Tanzania yetu
Hiyo ni kaxi ndogo ingia ktk website ya BAVICHA kajaze fomu online inakua approved kwa siku tatu vuaala kadi inakudondokeaWadao habari za asubuhi naombeni msaada nipo wilaya ya temeke nahitaji card ya chama cha mapinduzi rasmi na Mimi.ninataka kuanza harakati za kisiasa kupitia chama cha mapinduzi. Angalizo;sitaki utani wala matusi naombeni procedures tu!asanteni
Wadao habari za asubuhi naombeni msaada nipo wilaya ya temeke nahitaji card ya chama cha mapinduzi rasmi na Mimi.ninataka kuanza harakati za kisiasa kupitia chama cha mapinduzi. Angalizo;sitaki utani wala matusi naombeni procedures tu!asanteni
Wadao habari za asubuhi naombeni msaada nipo wilaya ya temeke nahitaji card ya chama cha mapinduzi rasmi na Mimi.ninataka kuanza harakati za kisiasa kupitia chama cha mapinduzi. Angalizo;sitaki utani wala matusi naombeni procedures tu!asanteni