wakuu habar za asubuhi,nnatumia simu ya Huawei u8650 but nikisave no.za simu inaniambia database full the contact can't be saved..but nikiangalia kwenye available space ya simu na line bado kabisa kujaa...halafu kuna majna ambayo nlyasave nayo hayaonekan mda mwngne huwa yanarud yenyewe na kwenye dialed calls n no.tu zinaonekana....naombeni msaada wakuu naamin jamii forum haishindwi kitu..thank you in advance.