Msaada juu ya Hotspot kwenye iphone kupitia line ya halotel

Jun 20, 2012
94
39
Wadau natumia iphone 7 kuna changamoto nimeanza kuipata sijajua kama kuna mtu nae iliwahi kumtokea niko hapa kutafuta solution juzi simu yangu ilikua inakubali vizuri kushare hotspot lakin nimeamka asubuhi nashindwa kabisa kuipata hotspot na kibaya zaid nikiweka line ya tigo hotspot inakuja kama kawaida kuna yoyote ambae alipata tatizo hili kwa line yake ya halotel kwenye iphone 7?

Natanguliza shukran zangu kwenu
 
Unatakiwa ukaweke APN settings za Hotspot.

Fungua settings then Cellular then Cellular Data Network kisha scroll mpaka utakapoona "Personal Hotspot Settings".

Hapo jaza hzi settings na kwingine kote acha kma ilivyo;

Name: Internet
APN: internet
 
Unatakiwa ukaweke APN settings za Hotspot.

Fungua settings then Cellular then Cellular Data Network kisha scroll mpaka utakapoona "Personal Hotspot Settings".

Hapo jaza hzi settings na kwingine kote acha kma ilivyo;
Name: Internet
APN: internet

IMG_4041.png
 
Iphone miyeyusho sana.. Hiyo halotel hata mm imewahi nigomea..

Hiyo hotspot yenyewe haipo strong yan simu ikiwa chumban sebuleb haishiki..

Pengine kwakuwa tunatumia matoleo ya zaman
 
Iphone miyeyusho sana.. Hiyo halotel hata mm imewahi nigomea..

Hiyo hotspot yenyewe haipo strong yan simu ikiwa chumban sebuleb haishiki..

Pengine kwakuwa tunatumia matoleo ya zaman

Yah huenda ikawa ni sababu pia kutumia matoleo ya zamani ila kwakweli wacha niendelee na hii seven mpka itakapogoma kabisa kunipa ushirikiano niutakao
 
so simu inakupangia line ipi iwashe hotspot ! Great

Haha hapana kaka haikuwa na setting za internet imenibidi service provider wangu anipatie internet setting maana nilikua nikiweka line ya tigo hotspot inakubali ila nashukuru kwa msaada wenu in any means
 
Ku clarify mkuu iphone zinawapa mitandao ya simu option zote kuanzia Hotspot mpaka menu ya kuchagua network type, kuna iPhone huwezi kuseti 2g/3g/4g only yenyewe ipo auto tu.

Hapo itakua Halotel wamejisahu kwenye mitambo yao huko.

Hata kwa android zipo simu za hivi hasa refurb za USA, sema kwa android unaweza bypass kupitia apps.
 
Ku clarify mkuu iphone zinawapa mitandao ya simu option zote kuanzia Hotspot mpaka menu ya kuchagua network type, kuna iPhone huwezi kuseti 2g/3g/4g only yenyewe ipo auto tu.

Hapo itakua Halotel wamejisahu kwenye mitambo yao huko.

Hata kwa android zipo simu za hivi hasa refurb za USA, sema kwa android unaweza bypass kupitia apps.
Hapa kwenye ku bypass ndio napahitaji nijue yangu haiset 4g only ipo automatic tu ni android A70
 
Hapa kwenye ku bypass ndio napahitaji nijue yangu haiset 4g only ipo automatic tu ni android A70
Kwenye android 4g huwezi kuiweka only sababu mitandao ya simu haina option ya kupiga kwa 4g hasa huku kwetu, hivyo mtu akikupigia ataambiwa upo busy.

Mpaka mtandao uwe na volte ndio unashauriwa kuweka 4g only.

Jaribu hii no ##4636## ni menu ya kuweka Aina ya network unayotaka, ila haifanyi kazi simu zote.
 
Unatakiwa ukaweke APN settings za Hotspot.

Fungua settings then Cellular then Cellular Data Network kisha scroll mpaka utakapoona "Personal Hotspot Settings".

Hapo jaza hzi settings na kwingine kote acha kma ilivyo;

Name: Internet
APN: internet
APN ni b_internet
 
Back
Top Bottom