joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
CreditAnalyst ni maana ya Credit analysis?.....
CreditAnalyst ni maana ya Credit analysis?.....
Wewe ndo umeongea la maana, mkuu wewe mpelekee moto. Hadi mahari atajilipia yeye.Mambo mengine Tuwaachie wazungu..we mpelekee moto
Coordinates well recognizedMan down
I repeat man down
hicho kiganja ni chako?
I can't hear you siiirrrCoordinates well recognized
We need to fall back
We need a backup
I repeat we need a backup
Kwani akinunua Pete ya 3,000 ina maanisha hawezi kununua ya sh.100,000?Mkuu pete ya elfu tatu kweli mkuu? Je utaweza kutunza familia kweli mkuu? je Mahari umelipa kiasi gani aisee?
Mbuyu umeanguka.Man down
I repeat man down
kuna jamaa anaitwa Kiduku Lilo atakusaidia km una uwezo , yeye kashauri km huna usioeTupo town kununua pete nikaona pete nzuri ina Tanzanite tsh 8,500,000. Nikamwambia achukue hiyo kwa ajili ya uchumba. Jamaa kiswahili kikawa kingi mwishowe kanunua pete tsh 1,100,000. Nimemshangaa jamaa.
😀 😀 😀I can't hear you siiirrr
You sayyyy?? ?