Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Jamani kwa huzuni kubwa sana..naomba niwaeleze ndoto inayonitesa mara kwa mara...ila naamini Mungu(Jehova)ananipigania kila siku.
Nimekuwa nikiota ndoto ya kushangaza na imekuwa ikijirudia mara kwa mara ni takriba miaka mitano au zaidi.
Ipo hivi najikuta kama natoa uzi kwenye meno au kama ambayo naangaika kutoa..naivuta inakuwa ndevu haikatiki lakini baadaye inaanza kujiviringisha katika mkona wangu ina fika sehemu ikikatika inaanza kama kupita katika mkono wangu nakurudi katika mwili wangu.
Sometime naota kama natoa kitu kama bablishi katika meno yangu ila inakuwa ndefu sana kiasi kwamba inaanza kujiviringisha kwenye mkono wangu, na baadaye kung'angania kunirudia.
Jana nimeota navuta kamba iliuojivoringisha kwenye ulimi wangukama ila wakati naangaika kuvuta ikawa ndevu ikaviringisha katika mkona wangu na kuanza kunirudi kwa kutoboa kwenye mikono yangu.
Jamani naomba niishie hapo kwasababu nahisi kuumizwa sana na ndoto hii..nina amini humu kuna wataalam mbali na wenye uwezo wa kunisaidia kutafsiri na ushauri.
Naombe ushauri wenu.
Jamani kwa huzuni kubwa sana..naomba niwaeleze ndoto inayonitesa mara kwa mara...ila naamini Mungu(Jehova)ananipigania kila siku.
Nimekuwa nikiota ndoto ya kushangaza na imekuwa ikijirudia mara kwa mara ni takriba miaka mitano au zaidi.
Ipo hivi najikuta kama natoa uzi kwenye meno au kama ambayo naangaika kutoa..naivuta inakuwa ndevu haikatiki lakini baadaye inaanza kujiviringisha katika mkona wangu ina fika sehemu ikikatika inaanza kama kupita katika mkono wangu nakurudi katika mwili wangu.
Sometime naota kama natoa kitu kama bablishi katika meno yangu ila inakuwa ndefu sana kiasi kwamba inaanza kujiviringisha kwenye mkono wangu, na baadaye kung'angania kunirudia.
Jana nimeota navuta kamba iliuojivoringisha kwenye ulimi wangukama ila wakati naangaika kuvuta ikawa ndevu ikaviringisha katika mkona wangu na kuanza kunirudi kwa kutoboa kwenye mikono yangu.
Jamani naomba niishie hapo kwasababu nahisi kuumizwa sana na ndoto hii..nina amini humu kuna wataalam mbali na wenye uwezo wa kunisaidia kutafsiri na ushauri.
Naombe ushauri wenu.