Wakuu, mdogo wangu amechaguliwa .
Mfumo wao ndivyo ulivyo vuta subira ingia kila baada ya lisaaWakuu, mdogo wangu amechaguliwa vyuo zaidi ya kimoja, chuo cha ardhi kikiwemo, lakini toka asubuhi mpakaa saiv (saa tatu usiku) akijaribu ko-login inakataa.. alitaka ku-confirm hicho chuo cha ardhi lakini ndo ivoo.
Wahusika tunaomba mtusaidie..
Sema usimsingizie mdogo wako ,wew ndo mwenye tatzo,mfumo wa Ardhi haufunguki ovyo ovyo tuSasa nyie wakubwa,. Mnapoisoma hii thread yangu bila kutoa msaada, mnapita bila kunisaidia. Ndo maana yake nini?? Kwamba haieleweki au wahusika hawapo??
Toeni basi msaada pliz
UmemkamataSema usimsingizie mdogo wako ,wew ndo mwenye tatzo,mfumo wa Ardhi haufunguki ovyo ovyo tu
Sasa wewe unataka nikudanganye ndo uridhike au?? Mimi nakuambia yangu nilisha-confirm hamuelewi..Umemkamata
Sa unalia au,mbona gazetiSasa wewe unataka nikudanganye ndo uridhike au?? Mimi nakuambia yangu nilisha-confirm hamuelewi..
Unazani mimi siwezi kuwa na mdogo wangu?? Au unazani mdogo wangu lazima tusiwe naye level moja???
We toa msaada, kama hujui bora utulie tu usijishkize et mdogo wangu...
Daa!! Tanzania bhana!!
Jambo muhimu mnaacha halafu lisilokuwa na umuhimu ndo mnang'ang'ana nalo... Sasa kama. Ni mdogo wangu hamuwezi kumsaidia??????
Hongera kijana kwa kuchaguliwa Aru.Ata me iligoma lakini jana imekubali na nime confirm mteli aingie now fresh tu
View attachment 1946007