Msaada juu ya cheti za kuzaliwa

kilaboy

Senior Member
Dec 11, 2011
150
97
Ndugu wanabodi habari za muda huu.

Mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Arusha nina mke na watoto wawili. Kwa sasa nimeajiriwa Kisiwani Zanzibar na mara baada ya kumaliza mkataba wangu natarajia kurudi kwetu Arusha. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kisheria juu cheti cha kuzliwa.


Ni wiki ya pili sasa tangu mtoto wangu wa pili azaliwe hapa kisiwani Zanzibar na wakati tumetoka hospitali tumepewa tangazo (karatasi inayothibitisha kuzaliwa kwa mtoto) ambalo tunatakiwa kuipeleka ofisi ya mkuu wa wilaya kwa ajili ya kufuatilia cheti za kuzaliwa.


Swali langu kwenu wanabodi

Je kuna matatizo yoyote ya kisheria hapo baadae tukirudi Tanzania bara mtoto wangu akiwa na cheti cha kuzaliwa kutoka Zanzibar?


Je iwapo Muungano utavunjika mtoto wangu atakua Mzanzibari au atafuata uraia wa sisi wazazi wake?


Nawasilisha wanabodi.
 
mkuu maneno yako hayana nia njema na muungano wetu, navyotambua mimi cheti cha kuzaliwa kwa namna yoyote ili hakithibitishi uraia wa mtu, taratibu za uraia zinajitegemea ingawa cheti hicho chaweza kuwa sehemu ya viambatisho vya kupata uraia, tuwasikilize na wengine tafadhali!
 
Tanzania ni moja na itaishia kuwa moja....
rejea:~ Rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan al-Mwinyi ana sifa hizo ulizo taja..!!
 
mkuu maneno yako hayana nia njema na muungano wetu, navyotambua mimi cheti cha kuzaliwa kwa namna yoyote ili hakithibitishi uraia wa mtu, taratibu za uraia zinajitegemea ingawa cheti hicho chaweza kuwa sehemu ya viambatisho vya kupata uraia, tuwasikilize na wengine tafadhali!
This is a very good question, unfortunately you have imported into it a political interpretation regarding the sanctity of the union! It is very possible the union to disintegrate, it it will not be the first one, one has to take precaution particularly in such a sensitive issued of citizenship!
 
mkuu maneno yako hayana nia njema na muungano wetu, navyotambua mimi cheti cha kuzaliwa kwa namna yoyote ili hakithibitishi uraia wa mtu, taratibu za uraia zinajitegemea ingawa cheti hicho chaweza kuwa sehemu ya viambatisho vya kupata uraia, tuwasikilize na wengine tafadhali!

Mkuu sina nia mbaya yoyote na Muungano, na hata kama ningekua nayo sina uwezo wa kushawishi au hata kuuvunja mimi mwenyewe.
namoba nikukumbushe tu kuwa kinga ni bora kuliko tiba, na pili mie kwa sasa nipo Zanzibar. Ninasikia na ninaona yanayoendelea hivo ni bora nikachukua tahadhari mapema.
 
mkuu maneno yako hayana nia njema na muungano wetu, navyotambua mimi cheti cha kuzaliwa kwa namna yoyote ili hakithibitishi uraia wa mtu, taratibu za uraia zinajitegemea ingawa cheti hicho chaweza kuwa sehemu ya viambatisho vya kupata uraia, tuwasikilize na wengine tafadhali!

Ana haki ya kuwa na shaka na hilo kwa maana sasa hivi Muungano unapigiwa sana kelele. Hivyo kama baadae ikitokea amekuja kiongozi ambaye naye atauona huu muungano hauna tija kwake ataruhusu kura za maoni ili kuufuta na ikipita kama kule kwa wenzetu UK basi itakuwa hivyo.

Ila huyo kijana aliyezaliwa kule akija kuishi kwa sababu ya baba yake asije akawa mtukutu kama Abdul Nondo kwa sababu atakuja kuombwa cheti chake cha kuzaliwa kisha atapeleka hiko kanachoonesha amezaliwa Zanzibar itakuja kumletea shida sana. Watamrudisha huko alipozaliwa kwa sababu itaonekana sio Mtanganyika bali ni Mzanzibar.
 
This is a very good question, unfortunately you have imported into it a political interpretation regarding the sanctity of the union! It is very possible the union to disintegrate, it it will not be the first one, one has to take precaution particularly in such a sensitive issued of citizenship!

Thanks verry much
 
Ana haki ya kuwa na shaka na hilo kwa maana sasa hivi Muungano unapigiwa sana kelele. Hivyo kama baadae ikitokea amekuja kiongozi ambaye naye atauona huu muungano hauna tija kwake ataruhusu kura za maoni ili kuufuta na ikipita kama kule kwa wenzetu UK basi itakuwa hivyo.

Ila huyo kijana aliyezaliwa kule akija kuishi kwa sababu ya baba yake asije akawa mtukutu kama Abdul Nondo kwa sababu atakuja kuombwa cheti chake cha kuzaliwa kisha atapeleka hiko kanachoonesha amezaliwa Zanzibar itakuja kumletea shida sana. Watamrudisha huko alipozaliwa kwa sababu itaonekana sio Mtanganyika bali ni Mzanzibar.

Ni kweli kiongozi
 
Mkuu sina nia mbaya yoyote na Muungano, na hata kama ningekua nayo sina uwezo wa kushawishi au hata kuuvunja mimi mwenyewe.
namoba nikukumbushe tu kuwa kinga ni bora kuliko tiba, na pili mie kwa sasa nipo Zanzibar. Ninasikia na ninaona yanayoendelea hivo ni bora nikachukua tahadhari mapema.
Nakushauri mwandikishe tanzania bara to be on the safe side! Achana na mambo ya zanzibar. Ile ni nchi kamili ccm ikitoka madarakani haya mambo yatabadirika maana kuna discontent kubwa na muungano among zanzibaris, likewise na bara!
 
ni
Mkuu sina nia mbaya yoyote na Muungano, na hata kama ningekua nayo sina uwezo wa kushawishi au hata kuuvunja mimi mwenyewe.
namoba nikukumbushe tu kuwa kinga ni bora kuliko tiba, na pili mie kwa sasa nipo Zanzibar. Ninasikia na ninaona yanayoendelea hivo ni bora nikachukua tahadhari mapema.
lisema mkuu, lakini sikua na nia yoyote i just said, don't take it seriously!
 
Nakushauri mwandikishe tanzania bara to be on the safe side! Achana na mambo ya zanzibar. Ile ni nchi kamili ccm ikitoka madarakani haya mambo yatabadirika maana kuna discontent kubwa na muungano among zanzibaris, likewise na bara!

Ahsante kiongozi
 
Ndugu wanabodi habari za muda huu.

Mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Arusha nina mke na watoto wawili. Kwa sasa nimeajiriwa Kisiwani Zanzibar na mara baada ya kumaliza mkataba wangu natarajia kurudi kwetu Arusha. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kisheria juu cheti cha kuzliwa.


Ni wiki ya pili sasa tangu mtoto wangu wa pili azaliwe hapa kisiwani Zanzibar na wakati tumetoka hospitali tumepewa tangazo (karatasi inayothibitisha kuzaliwa kwa mtoto) ambalo tunatakiwa kuipeleka ofisi ya mkuu wa wilaya kwa ajili ya kufuatilia cheti za kuzaliwa.


Swali langu kwenu wanabodi

Je kuna matatizo yoyote ya kisheria hapo baadae tukirudi Tanzania bara mtoto wangu akiwa na cheti cha kuzaliwa kutoka Zanzibar?


Je iwapo Muungano utavunjika mtoto wangu atakua Mzanzibari au atafuata uraia wa sisi wazazi wake?


Nawasilisha wanabodi.
Mkuu upo sawa kuuliza ,ila naomba nkuambie kwa uelewa Wang ibara ya pili ya katba ya Jamhur ya muungano tz.ni kwamba jamhur ya muungano inajumuisha eneo lote la Tanzania bara na eneo lote la Tanzania visiwani.hivyo kwa mujibu wa katba hii ya 1977 hakuna nchi inayoitwa Zanzibar wala Tanganyika. Hiv bas muungano ukivunjika kutaundwa mataifa mapya kabsa ambayo yatatambulika na umoja wa mataifa .na hata tulio na uraia wa Tanzania utakoma siku iyo iyo ya kuvunjika kwa muungano .hivyo India wasi wasi kwa katiba ya 1977 Zanzibar ni sawa sawa na Arusha au shinyanga.maana inahesabika ni sehem ya Tanzania kutokana na ibara ya pili
 
Cheti cha kuzaliwa sio uthibitisho wa Uraia wa mtoto


Naomba tijadili hapa kidogo. Tunaelimishana
Citizenship by birth


Any child born within the borders of the United Republic of Tanzania, on or after Union Day, 26 April 1964, is granted citizenship of Tanzania, except for children of foreign diplomats, as stated in the Tanzania Citizenship Act of 1995.[1][2

Tanzania Citizenship Act, 1995
5. Persons born in the United Republic on after Union Day
(1)Subject to the provisions of subsection (2), every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30.

(2)A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if at the time of his birth-

(a)neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or

(b)any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.
 


Naomba tijadili hapa kidogo. Tunaelimishana
Citizenship by birth


Any child born within the borders of the United Republic of Tanzania, on or after Union Day, 26 April 1964, is granted citizenship of Tanzania, except for children of foreign diplomats, as stated in the Tanzania Citizenship Act of 1995.[1][2

Tanzania Citizenship Act, 1995
5. Persons born in the United Republic on after Union Day
(1)Subject to the provisions of subsection (2), every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30.

(2)A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if at the time of his birth-

(a)neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or

(b)any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.
Mkuu niwekee kwa kiswahili kwa maana mi english haipandi vizuri. Then Zanzibar ndani ya Tanzania ni sehemu ya Tanzania nje ya Tanzania ni Zanzibar binafsi.
 
Mkuu upo sawa kuuliza ,ila naomba nkuambie kwa uelewa Wang ibara ya pili ya katba ya Jamhur ya muungano tz.ni kwamba jamhur ya muungano inajumuisha eneo lote la Tanzania bara na eneo lote la Tanzania visiwani.hivyo kwa mujibu wa katba hii ya 1977 hakuna nchi inayoitwa Zanzibar wala Tanganyika. Hiv bas muungano ukivunjika kutaundwa mataifa mapya kabsa ambayo yatatambulika na umoja wa mataifa .na hata tulio na uraia wa Tanzania utakoma siku iyo iyo ya kuvunjika kwa muungano .hivyo India wasi wasi kwa katiba ya 1977 Zanzibar ni sawa sawa na Arusha au shinyanga.maana inahesabika ni sehem ya Tanzania kutokana na ibara ya pili

Ahsante sana kiongozi, maana hapo angalau umegusia suala la katiba.
 

Naomba tijadili hapa kidogo. Tunaelimishana
Citizenship by birth


Any child born within the borders of the United Republic of Tanzania, on or after Union Day, 26 April 1964, is granted citizenship of Tanzania, except for children of foreign diplomats, as stated in the Tanzania Citizenship Act of 1995.[1][2

Tanzania Citizenship Act, 1995
5. Persons born in the United Republic on after Union Day
(1)Subject to the provisions of subsection (2), every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30.

(2)A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if at the time of his birth-

(a)neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or

(b)any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.

Therefore for that case i have nothing to worry any more

Naomba tijadili hapa kidogo. Tunaelimishana
Citizenship by birth


Any child born within the borders of the United Republic of Tanzania, on or after Union Day, 26 April 1964, is granted citizenship of Tanzania, except for children of foreign diplomats, as stated in the Tanzania Citizenship Act of 1995.[1][2

Tanzania Citizenship Act, 1995
5. Persons born in the United Republic on after Union Day
(1)Subject to the provisions of subsection (2), every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30.

(2)A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if at the time of his birth-

(a)neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or

(b)any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.

Therefore for that case i have nothing to worry any more in processing birth certificate of my son here in Zanzibar
 
Ndugu wanabodi habari za muda huu.

Mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Arusha nina mke na watoto wawili. Kwa sasa nimeajiriwa Kisiwani Zanzibar na mara baada ya kumaliza mkataba wangu natarajia kurudi kwetu Arusha. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kisheria juu cheti cha kuzliwa.


Ni wiki ya pili sasa tangu mtoto wangu wa pili azaliwe hapa kisiwani Zanzibar na wakati tumetoka hospitali tumepewa tangazo (karatasi inayothibitisha kuzaliwa kwa mtoto) ambalo tunatakiwa kuipeleka ofisi ya mkuu wa wilaya kwa ajili ya kufuatilia cheti za kuzaliwa.


Swali langu kwenu wanabodi

Je kuna matatizo yoyote ya kisheria hapo baadae tukirudi Tanzania bara mtoto wangu akiwa na cheti cha kuzaliwa kutoka Zanzibar?


Je iwapo Muungano utavunjika mtoto wangu atakua Mzanzibari au atafuata uraia wa sisi wazazi wake?


Nawasilisha wanabodi.
Hakuna RAIA wa Zanzibar
 
Back
Top Bottom