pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habari wadau samahan sana naomben msaada wenu kwa yeyote ambaye amewahi fanya kazi na hawa jamaa plz anielekeze wanapatikana moshi maeneo gani?.. nataka kuonana nao ila sijui ofisi zao zilipo. na kwa anaejua mishahara yao ikoje ningefurahi zaidi tafadhali sana