Wanajamvi nisaidien kuna mtu ananishawish aniunganishe kweny hii biashara ya mtandao mm mwenyew siielew vizur ila ananiambia unapata mafanikio haraka na malengo yake ni kwaajil ya kupunguza umaskini tanzania. Sasa wenye uzoefu wanifumbue macho
Mambo yote yayotumia kigezo cha: utapata haraka, fasta, mara moja, ndani ya wiki moja, nk, hakuna kitu hapo. Ni kutapeliana tu na kupotezeana wakati. Mfano mtu anakwambia, Ingiza laki 5 kwa wiki moja, nk wakati ndio kwanza unaanza, ni uongo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.