Msaada juu ya ajira niniayotakiwa kupatiwa.

Bokohalamu

Member
Mar 13, 2012
94
8
Habari wakuu! Baada ya kukaa na hii private kampuni kwa miez zaidi ya probation period waliyonipa wakiwa wananipa allawance tu, leo wamenipa barua ya kazi rasmi niisome nikiridhia ni sign. Hii kampuni ni ndogo na bado inaoperate at loss, tatizo ni kwamba wanataka kubana matumizi hivyo wameni title kama Accounts assistant wakati mimi nina Advanced Diploma in Accontancy na Postgraduate Diploma in Accontancy,kwangu nahisi si sawa wamenishusha ili ni dai zaidi. Nililalamika juu ya hili nikapewa nafasi ya kwenda kutafuta source zitakazo onyesha ni kiasi gani haswa mtu mwenye sifa zangu anayeanza kazi anapashwa kulipwa,ni kawaambia wajaribu kucheki na utumishi wakaniambia nitafute mwenyewe hawaijiu! Sasa ombi langu kwenu ni ushauri na pia wapi naweza pata hizo details za viwango vya mishahara ya serikari vitakavyo washawishi, ingawaje najua serikalini pia imegawanyiaka kutokana idara mbalimbali, na hapo ndipo pana nichanganya sasa, kweli kazi ni ngumu! Pia nilikua hapa town ila kwa sasa wanataka kunipeleka huko kijijini kwenye operation zenyewe! Akhsanteni kama nitakua nimeeleweka!
 
Boko haramu, unataka mshahara au cheo, waambie wakupe milioni mbili kwa cheo hicho hicho. HAwana isipungue 1.8 after all the deductions. hivi hivi utasumbuana nao ajira zenyewe utata.
 
Boko haramu, unataka mshahara au cheo, waambie wakupe milioni mbili kwa cheo hicho hicho. HAwana isipungue 1.8 after all the deductions. hivi hivi utasumbuana nao ajira zenyewe utata.

Mkuu mi mwenyewe naangalia mkwanja tu, sasa wamenipa kidogo kupita maelezo ukizingatia naenda Bush, nikajua nikutokana na title waliyonipa na experince niliyonayo kwakua ndio naanza ndio sababu, so niakona nikomaa kwenye kuipandisha title labda na mkwanja utapanda!
 
nenda wizara ya kazi na ajira ndio wana viwango elekezi kwa kila sekta!
utumishi unaenda kufanya nini kwani wewe ni mtumishi wa umma?
all the best ndugu
 
kaka,be very wise katika hili...je ushawahi kudodosa wenzako waliaza na kiasi gani?,na katika kazi zako,unadhani kuna mishemishe unaweza ukafanya zikakupatia kipato zaidi?inavyoonekana,na wao wanasikilizia upepo,kwamba utasemaje,ukitaja chini sana kitakula kwako,na ukitaja juu sana,wanaweza waka-cancel.pia sikushauri utumie viwango vya serikali,kwani kuna factors zingine kama,kupandishwa mshahara kwao uko kwa mpangilio gani?kuna allowances zozote utakazopata?ukiacha kazi watakulipa n.k.siupi support ushauri wa DaPilly,kwani ukiiacha kazi ama ukaikosa kisa hukuwa makini katika salary negotiations,itakugharimu muda zaidi na fedha zaidi ili kuweza kupata kazi nyingine nzuri.....my take,jibebee uzoefu kwanza hapo ulipo,ujuane na watu,ukishakuwa tegemezi ndo labda uanze ku-reason mshahara,kwa sasa fresh graduates ni wengi sana,na wanaitamani kazi yako.chakarika na utumie busara ya juu katika hili.....ni mawazo yangu tu.
 
Last edited by a moderator:
kaka,be very wise katika hili...je ushawahi kudodosa wenzako waliaza na kiasi gani?,na katika kazi zako,unadhani kuna mishemishe unaweza ukafanya zikakupatia kipato zaidi?inavyoonekana,na wao wanasikilizia upepo,kwamba utasemaje,ukitaja chini sana kitakula kwako,na ukitaja juu sana,wanaweza waka-cancel.pia sikushauri utumie viwango vya serikali,kwani kuna factors zingine kama,kupandishwa mshahara kwao uko kwa mpangilio gani?kuna allowances zozote utakazopata?ukiacha kazi watakulipa n.k.siupi support ushauri wa DaPilly,kwani ukiiacha kazi ama ukaikosa kisa hukuwa makini katika salary negotiations,itakugharimu muda zaidi na fedha zaidi ili kuweza kupata kazi nyingine nzuri.....my take,jibebee uzoefu kwanza hapo ulipo,ujuane na watu,ukishakuwa tegemezi ndo labda uanze ku-reason mshahara,kwa sasa fresh graduates ni wengi sana,na wanaitamani kazi yako.chakarika na utumie busara ya juu katika hili.....ni mawazo yangu tu.

Ni kweli uyasemayo mdau, ila allowance zilzopo ni chakula na malazi huko bush kwa kua ni mbali na town so hutoweza kuvipata hivyo vitu kiurahisi, pia hawaja angalia gharama za kuhama kwangu, ingekua mjini ingekua poa zaidi kwa maana nafanya huku nikiomba kazi sehemu nyingine ila huko hakuna umeme ni generator tu one time,airtel tu ndio inapatikana, hakuna kujiendeleza kabisa!
 
Ni kweli uyasemayo mdau, ila allowance zilzopo ni chakula na malazi huko bush kwa kua ni mbali na town so hutoweza kuvipata hivyo vitu kiurahisi, pia hawaja angalia gharama za kuhama kwangu, ingekua mjini ingekua poa zaidi kwa maana nafanya huku nikiomba kazi sehemu nyingine ila huko hakuna umeme ni generator tu one time,airtel tu ndio inapatikana, hakuna kujiendeleza kabisa!

daaaaah, hapo inabidi ufikirie mara mbili mkuu, maana huko watakuwa wamekupoteza kwa kweli,so maslahi lazima yawe mazuri
 
Habari wakuu! Baada ya kukaa na hii private kampuni kwa miez zaidi ya probation period waliyonipa wakiwa wananipa allawance tu, leo wamenipa barua ya kazi rasmi niisome nikiridhia ni sign. Hii kampuni ni ndogo na bado inaoperate at loss, tatizo ni kwamba wanataka kubana matumizi hivyo wameni title kama Accounts assistant wakati mimi nina Advanced Diploma in Accontancy na Postgraduate Diploma in Accontancy,kwangu nahisi si sawa wamenishusha ili ni dai zaidi. Nililalamika juu ya hili nikapewa nafasi ya kwenda kutafuta source zitakazo onyesha ni kiasi gani haswa mtu mwenye sifa zangu anayeanza kazi anapashwa kulipwa,ni kawaambia wajaribu kucheki na utumishi wakaniambia nitafute mwenyewe hawaijiu! Sasa ombi langu kwenu ni ushauri na pia wapi naweza pata hizo details za viwango vya mishahara ya serikari vitakavyo washawishi, ingawaje najua serikalini pia imegawanyiaka kutokana idara mbalimbali, na hapo ndipo pana nichanganya sasa, kweli kazi ni ngumu! Pia nilikua hapa town ila kwa sasa wanataka kunipeleka huko kijijini kwenye operation zenyewe! Akhsanteni kama nitakua nimeeleweka!

wewe kafanye kazi kama Ass.Accountant, na mshahara serikali ni sh.416,000 kwa mwenye degree au Ad. diploma, sasa serikali imepandisha mishahara unapaswa kulipwa si chini ya 500,000 fedha halali ya kitanzania, vinginevyo wape muda waoneshe kuwa unajua kazi halafu watakuja juta siku ukiondoka, me nakumbuka pamoja na kuwa na elimu kubwa niliwahi kufanya kazi nikalipwa 250,000 kwa mwezi wa kwanza, 400,000 kwa mwezi wa pili, na waliahidi kuendelea kupandisha kila mwezi, ila nashukuru Mungu leo ni habari zingine kabisa i am talking of money, we kapige kazi huku ukitafuta kazi.
 
kaka,be very wise katika hili...je ushawahi kudodosa wenzako waliaza na kiasi gani?,na katika kazi zako,unadhani kuna mishemishe unaweza ukafanya zikakupatia kipato zaidi?inavyoonekana,na wao wanasikilizia upepo,kwamba utasemaje,ukitaja chini sana kitakula kwako,na ukitaja juu sana,wanaweza waka-cancel.pia sikushauri utumie viwango vya serikali,kwani kuna factors zingine kama,kupandishwa mshahara kwao uko kwa mpangilio gani?kuna allowances zozote utakazopata?ukiacha kazi watakulipa n.k.siupi support ushauri wa dapilly,kwani ukiiacha kazi ama ukaikosa kisa hukuwa makini katika salary negotiations,itakugharimu muda zaidi na fedha zaidi ili kuweza kupata kazi nyingine nzuri.....my take,jibebee uzoefu kwanza hapo ulipo,ujuane na watu,ukishakuwa tegemezi ndo labda uanze ku-reason mshahara,kwa sasa fresh graduates ni wengi sana,na wanaitamani kazi yako.chakarika na utumie busara ya juu katika hili.....ni mawazo yangu tu.



well said..,
yeye akafanye kazi tuh,haya mambo mengne ni baadae

akajenge na kutafuta uzoefu kwanza,maisha hayaji juu kwa ghafla ivo
 
wewe kafanye kazi kama Ass.Accountant, na mshahara serikali ni sh.416,000 kwa mwenye degree au Ad. diploma, sasa serikali imepandisha mishahara unapaswa kulipwa si chini ya 500,000 fedha halali ya kitanzania, vinginevyo wape muda waoneshe kuwa unajua kazi halafu watakuja juta siku ukiondoka, me nakumbuka pamoja na kuwa na elimu kubwa niliwahi kufanya kazi nikalipwa 250,000 kwa mwezi wa kwanza, 400,000 kwa mwezi wa pili, na waliahidi kuendelea kupandisha kila mwezi, ila nashukuru Mungu leo ni habari zingine kabisa i am talking of money, we kapige kazi huku ukitafuta kazi.

Nimekusoma mkuu, niatenda soma mazingira ingawaje access ya kuomba kazi na kuhudhuria interview itakua ngumu sana, ila ngoja nikaongeze experience! wao wananitaka nianze na 350,000 hapo bado sijakatwa kodi, anyways nitakomaa hivyohivyo!
 
komaa nao kaka upate hata za kumalizia mwaka, ajira zenyewe zinazingua, usinione kichwa wazi kukushauri najua hali iliyopo mtaani, kuna watu wana CPA, Master na bado hawajatoka
 
Back
Top Bottom