MSAADA: JOTO LA DAR NI KALI NATAFUTA AC AU AIR COOLER

malkiamrembo

JF-Expert Member
Mar 29, 2015
386
231
Ndugu zangu kwa joto hili urembo wote utatuisha natafuta wapi nitapata Air condition ndogo ya bei nafuu au Aur cooler kwa bei rafiki jamani nisaidieni kwakweli..Loll hili joto la dsm sasa ni hatari sana.
Naomba kama kuna mtu anaufahamu na mambo hayo anisaidie. Hapa
 
Nenda kariakoo kuna vifeni vidogo vya kutumia betri hata ukiwa kwenye daladala au sehemu zisizo na AC unakatoa kwenye pochi kanakupa burudani ya roho!
 
Ndugu zangu kwa joto hili urembo wote utatuisha natafuta wapi nitapata Air condition ndogo ya bei nafuu au Aur cooler kwa bei rafiki jamani nisaidieni kwakweli..Loll hili joto la dsm sasa ni hatari sana.
Naomba kama kuna mtu anaufahamu na mambo hayo anisaidie. Hapa

vipi ulipata ? na kwa bei gani ? mimi pia nahitaji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom