Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Habari zenu wakuu,
Nina dogo kamaliza form four na amebahatika kuchaguliwa Singida College of Health and Technology.
Naomba anaweza kunipatia joining instruction ya chuo hiki hata ya mwaka Jana kama ya mwaka huu bado haijatoka.
Asanteni.
Siku njema kwenu nyote.
Nina dogo kamaliza form four na amebahatika kuchaguliwa Singida College of Health and Technology.
Naomba anaweza kunipatia joining instruction ya chuo hiki hata ya mwaka Jana kama ya mwaka huu bado haijatoka.
Asanteni.
Siku njema kwenu nyote.