Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
Habari wanajf,
naombeni mnielimishe jinsi ya kuweka password kwenye simu ili mtu akitaka kucheki salio ashindwe kuona mpaka aingize hiyo password. hii kitu nilionaga kwenye simu(nokia) ya jamaa mmoja kitambo sana lakini sasa nahitaji nijue. Yani ukishika simu yake ukataka kucheki salio unaona inakuandikia enter password. Ukiingiiza correct password ndo unaweza kuona salio.
naombeni mnielimishe jinsi ya kuweka password kwenye simu ili mtu akitaka kucheki salio ashindwe kuona mpaka aingize hiyo password. hii kitu nilionaga kwenye simu(nokia) ya jamaa mmoja kitambo sana lakini sasa nahitaji nijue. Yani ukishika simu yake ukataka kucheki salio unaona inakuandikia enter password. Ukiingiiza correct password ndo unaweza kuona salio.