magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,407
- 13,131
Wataalam kuna hii simu tajwa hapo juu inatumia line mbili ila iko locked kwenye vodacom. Nimejaribu kuunlock kwa kutumia NCK Android MTK ile cracked nimeshindwa. Nakutana na error 36 phone not support meta connection, lakini inakuwa tayari ishaboot upande wa meta ila connection inastop hapo. Processor ya simu ni MT6739.
Msaada wenu tafadhali.
cc
Chief-Mkwawa na wataalamu wengine.
Msaada wenu tafadhali.
cc
Chief-Mkwawa na wataalamu wengine.