Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,559
- 47,002
Mashahidi kawatolea wapi? Walikuwepo au ni majirani! Kama ni majirani waulize walisikia shambulio wakiwa nje au ndani.Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale.
Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa kosa la shambulio la kudhuru mwili. Ametakiwa kupeleka mashahidi na ameandaa mashahidi wa kununua ili kunikomoa. Mmoja wa mashahidi ni kuwadi aliyemtafutia bwana.
Naomba wataalamu wa kesi mnipe nondo za maana za kuwauliza hao mashahidi.
Karibuni..