Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale.

Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa kosa la shambulio la kudhuru mwili. Ametakiwa kupeleka mashahidi na ameandaa mashahidi wa kununua ili kunikomoa. Mmoja wa mashahidi ni kuwadi aliyemtafutia bwana.

Naomba wataalamu wa kesi mnipe nondo za maana za kuwauliza hao mashahidi.

Karibuni..
Mashahidi kawatolea wapi? Walikuwepo au ni majirani! Kama ni majirani waulize walisikia shambulio wakiwa nje au ndani.
 
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
Bora yeye na ukanjanja wake Kuliko wewe na usomi wako,

Sasa umeandika Nini hapa??

Kwamaneno Yako na muuliza swali yanaendana? Kama ungelikuwa unajua si ungetoa Nondo zako tuzione?
 
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
Much know !!!! Empty
 
kua tu mkweli, kama hauna shahidi usijaribu kuleta shahidi wa bandia, maana yeye ndio anaweza akakuaribia kesi hasa kwa upande wako, ulikua peke ako ivyo simama peke ako, hio pf3 isikuogopeshe mkuu, siku zote mahakamani ukweli unaonekanaga tu.


Toa ushaidi wako, huku ukianza kwanza kuelezea juu ya mahusiano yenu na muda mliokaa pamoja ili ionekane mlikua na mahusiano makubwa sana.
elezea tukio zima lilivyokua, ktk maelezo yako onesha kabisa hukumshambulia mtu kwa kutumia mwili wako au silaha zozote(na hasa ukizingatia wao walisharikologa kwenye ushahidi wao)
elezea tu kulitokea ubishani wa maneno tu hivyo ukaamua uondoke zako, ni kama ungetokea ugomvi wa aina yoyote mkubwa basi wewe ndio ungekua wa kwanza kuzulika kwakua wao walikua wawili yeye na bwana ake(if nilikunote vibaya, ulisema" baada ya
kumkuta na mwanaume chumbani kwake,
kukatokea ugomvi wa hapa na pale.")
au kama alikuepo peke ake sikuio ya ugomvi, basi kana kabisa kumpiga uyo mwanamke hasa ukizingatia alitoa ushahidi dhaifu sana.
Sijiombei kupanda kuzimbani kwa namna yoyote ile iwe kushitaki au kushitakiwa (Mungu aniepushe).
Ila siku ikitokea kwa kudra za Mungu mkuu 666 chata lazima nikutafute unipe mwongozo.
Mungu akubariki sana aisee nimesoma comments zako upo vizuri sana.
 
Sijiombei kupanda kuzimbani kwa namna yoyote ile iwe kushitaki au kushitakiwa (Mungu aniepushe).
Ila siku ikitokea kwa kudra za Mungu mkuu 666 chata lazima nikutafute unipe mwongozo.
Mungu akubariki sana aisee nimesoma comments zako upo vizuri sana.
Jamaa anajua sana sheria aisee
 
Back
Top Bottom