Nilikuwa na paka ,alikuwa anakula vizuri hapati njaa anakaa ndani,aisee paka akikuzoea anatia huruma kumwua.
Sema hayo mapaka ya nje yanayozunguka hayafai
Sijui yameoteshwa jana mchana mzima hadi usiku yalikuwa yanapiga kelele leo naona yamekuwa kimya mbaya zaidi yanafaa mlangoni getini ukitokeza tu yanakimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwezi uliopita kuna mapaka mawili yanakuja dirishani kwa nje yanalia si unajua zile milio yao,hata kama huna imani potofu unaanza kuwaza,nilikuwa natoka saa nane usiku nayafukuza, mara baada ya lisaa moja yamerudi ,nahisi they were mating lakini ile milio yao inazingua sana
Usafi wa mazingira utawafanya wakimbie bila kupenda... Na mafutataa piaWakuu Mimi ni miongoni ambao siwapendi paka kidogo, kwa kuwa siamini hawa Mapaka ni wema kabisa hasa hii mipaka Pori ambayo kazi yake ni kuzurura tu huwa muda mwingine nayaona kama mashirikina tu
Naomba mwenye u juzi wa kuua haya Mapaka. Sibarikiwi kuyaona paka ambaye sijawahi kumfuga
Ndugu @ Mshana ebu nisaidie
Nawachukia Mapaka Pori.msaada
Sent using Jamii Forums mobile app