Una uhakika au umesema tu?
Je huwezi kutumia whatsapp 2 kwa simu moja??Naomba maelekezo jinsi ya kuweza kutumia whatsap mbili kwenye simu moja. Kama kuna mtu mwenye hyo soft ware itanisaidia zaidi
Ila kama unaona tabu ya hizo apps,download whatsapp 2. Moja from playstore official na nyingine unofficial mfano GB whatsapp.
GBWA v5.70-2.17.146 @atnfas_hoak.apk hiyo apo
Mkuu wapiUna uhakika au umesema tu?