Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kawaida uchafu wote unaoingi machoni husafishwa na kupitia tundu lililo chini ya ya macho yako. Kama lisipo pitia basi husukumwa mpaka mwishoni mwa jicho. Kama ni muwasho basi ni mchubuko tu uliosabibishwa na hilo punje. Njia ya kuweza kuondoa uchafu kama huo ni kutumia maji safi ya baridi katika chombo kama beseni na ukazamisha uso wako na kufungua macho kwa muda kama sekunde 5.
Nimejaribu hivo bila mafanikio hautoki..i can feel this particle inazunguka jichoni hadi sasa
Blink your eye fast and furiously and let the tears wash it out. This may help: How to Remove Something from Your Eye - wikiHow. Ikishindikana cheki na daktari.
Njia nyingine ambayo nimeshaitumia na ikafanya kazi ni mtu mwingine kufungua jicho lako na kupuliza kwa nguvu. Tena akiangalia vizuri anaweza kuona hata mchanga wenyewe. Una uhakika sio lump on your eyelid?
tema mate chini mara tatu na juu mara tatu, maumivu yakizi nenda hospital.
Mkuu hii njia nadhan ndo ya kwanza kuifanya sababu nilishawahi kuitumia,it hasnt worked this time round..its not a lump am sure