Msaada jinsi ya kutengeneza fondant

Naomba msaada kwa yoyote ajuae jins ya kutengeneza fondant
Kuna FONDANT za aina 2


AINA YA KWANZA.1
Hapa unahitaji
F1.jpg
F1.jpg
F1.jpg
F2.jpg
F3.jpg
F4.jpg
F5.jpg
F7.jpg
F8.jpg
F10.jpg


1.Mashmallow(eg 1 pakt)
2.Maji nusu kikombe (depends na wing wa mashmallows zako)
3.Bakuli kubwa (la udongo)
4.Rangi uipendayo
5.Vanilla (unaweza kutumia ladha yoyote)

then follow pictures...
 
Najua mashmallow ila fondant ni Nini nijuzeni

Sent from my Z970 using JamiiForums mobile app
 
mmh kama wewe ni mwl wanafunzi watafeli wote maana naona mahitaji tuu kumwambia mtu asiyejua mashmallo atumie maji kulingana na wingi wa mashmallow atakuwa ameelewa nini.
 
Mimi fondant siipendi maana linakuwa likitu linene, lichapati na wasiopenda sukari nyingi hawaweza kula

Mimi nachukua icing suger na changanya na ute Wa yai au griseline ya keki

Navuruga napaka uji mwenyewe (usiwe mwepesi sana) halafu napaka kwenye keki

Fondant maswala ya kusukuma sijui lichapati

invest what you are willing to lose
 
Mimi fondant siipendi maana linakuwa likitu linene, lichapati na wasiopenda sukari nyingi hawaweza kula

Mimi nachukua icing suger na changanya na ute Wa yai au griseline ya keki

Navuruga napaka uji mwenyewe (usiwe mwepesi sana) halafu napaka kwenye keki

Fondant maswala ya kusukuma sijui lichapati

invest what you are willing to lose
Asante Umenitoa tongo tongo
 
Kuna FONDANT za aina 2


AINA YA KWANZA.1
Hapa unahitajiView attachment 528122 View attachment 528122 View attachment 528122 View attachment 528123 View attachment 528124 View attachment 528125 View attachment 528126 View attachment 528127 View attachment 528128 View attachment 528129

1.Mashmallow(eg 1 pakt)
2.Maji nusu kikombe (depends na wing wa mashmallows zako)
3.Bakuli kubwa (la udongo)
4.Rangi uipendayo
5.Vanilla (unaweza kutumia ladha yoyote)

then follow pictures...
We nae ujui ata kuelekeza
🤷🤷🤷
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom