kapistrano
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,244
- 453
Nimekuwa natumia Ubuntu kwa miaka kumi sasa(10), kwa kipindi chote sikuwa nashughulika na mambo ya Terminal. Hivyo sina ujuzi wa kutosha kwenye eneo hilo.
Hivi karibuni nimekuwa ninakazi mbalimbali ambazo nahitaji kuistall software mbalimbali kwa kutumia command line kwenye Terminal matokeo huja hivi
$ sudo apt-get install <package>
Reading package lists... Done
Building dependency tree
Reading state information... Done
E: Unable to locate package <package>
Nafanyaje ili kuweza kutatua tatizo la E: Unable to locate package?
Hivi karibuni nimekuwa ninakazi mbalimbali ambazo nahitaji kuistall software mbalimbali kwa kutumia command line kwenye Terminal matokeo huja hivi
$ sudo apt-get install <package>
Reading package lists... Done
Building dependency tree
Reading state information... Done
E: Unable to locate package <package>
Nafanyaje ili kuweza kutatua tatizo la E: Unable to locate package?