Patiee
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 468
- 716
Wakuu;
Naomba msaada wa namna ya kusolve suala hilo hapo juu. Kila ninapotaka ku issue command kwenye CMD promt maneno hayo yanajitokeza.
Nimejaribu kubadili user variables kwenye environmental changes lakini bado maneno hayo yanajitokeza.
Msaada tafadhali.
Naomba msaada wa namna ya kusolve suala hilo hapo juu. Kila ninapotaka ku issue command kwenye CMD promt maneno hayo yanajitokeza.
Nimejaribu kubadili user variables kwenye environmental changes lakini bado maneno hayo yanajitokeza.
Msaada tafadhali.