Naipuli
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 266
- 109
Habari zenu wakuu,
Natumia simu aina TECNO L6, lakini shida kubwa ninayokutana nayo ni pale ninapojaribu kuseti Launcher nyingine kama Go, TSF, Smart etc kuwa Default Launcher.
Kila ninapo reboot au kubofya Home key ya simu yangu, inanitaka nichague upya Default Launcher.
Kwa mwenye ufahamu na ujuzi katika hili tafadhari anisaidie niweze kuachana na matumizi ya launcher ya simu ya kujia.
Natumia simu aina TECNO L6, lakini shida kubwa ninayokutana nayo ni pale ninapojaribu kuseti Launcher nyingine kama Go, TSF, Smart etc kuwa Default Launcher.
Kila ninapo reboot au kubofya Home key ya simu yangu, inanitaka nichague upya Default Launcher.
Kwa mwenye ufahamu na ujuzi katika hili tafadhari anisaidie niweze kuachana na matumizi ya launcher ya simu ya kujia.