M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Nataka kuwa na nembo yangu itakayouza product yangu ya UNGA.
Kwa kifupi ni kwamba nataka kumiliki kiwanda kidogo kitakachokuwa kinatengeneza unga wa mahindi na ku pack kwenye viroba vya nusu kilo, kilo moja, kili 2, kilo 5 na kilo 20.
Je, utaratibu wa kutumia nembo yangu mwenyewe unakuwaje? asanteni sana wakuu.
Kwa kifupi ni kwamba nataka kumiliki kiwanda kidogo kitakachokuwa kinatengeneza unga wa mahindi na ku pack kwenye viroba vya nusu kilo, kilo moja, kili 2, kilo 5 na kilo 20.
Je, utaratibu wa kutumia nembo yangu mwenyewe unakuwaje? asanteni sana wakuu.