Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 2,471
- 3,098
ndugu wana Jf!naomba msaada wa njia ya kuweza kupata kifurushi ambacho rafiki yangu kaniagizia toka UK,kupita workmate mwenzake ambaye ni mtu wa Uganda alikuja UG kwa dharula ndo akampa huyo aniletee sababu ni majirani!je naweza kutumia mabasi ya Uganda-Dar au kuna njia nyingine rahisi? Nawasilisha..