Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Wadau nimerudi tena, kwanza naombeni mnivumilie, napenda sana masuala ya blog.
Kwenye blog, nina page mbalimbali kama MAPENZI, MAKALA, MICHEZO NA BURUDANI n.k
Swali langu ni, namna gani naweza kupost kwenye page mfano MAPENZI na nilichokiandika kisionekane HOME PAGE?
Natanguliza shukrani waungwana, jf inanisaidia sana
Kwenye blog, nina page mbalimbali kama MAPENZI, MAKALA, MICHEZO NA BURUDANI n.k
Swali langu ni, namna gani naweza kupost kwenye page mfano MAPENZI na nilichokiandika kisionekane HOME PAGE?
Natanguliza shukrani waungwana, jf inanisaidia sana