ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,149
Habari zenu machef wa JF naombeni msaada njia gani rahisi ya kumpika bata awe mtamu. Sijawahi kula bata kabisa wala kumuandaa.
Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya bata sasa sijui pa kuanzia maana nasikia hapikwi kama kuku.
Naombeni msaada kuanza kumnyonyoa vipi aishe manyoya maana ana vimalaika sana.
Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya bata sasa sijui pa kuanzia maana nasikia hapikwi kama kuku.
Naombeni msaada kuanza kumnyonyoa vipi aishe manyoya maana ana vimalaika sana.