Kwi kwi kwi nyaaa la kuku tena uharo au yale magumu? lazima utakuwa unatania wewe.
msamehe bure tu kaka, anatumia Nokia 3310. By the way naunga mkono hoja ya kujali quality badala ya quantity, katika mada hii.unaonekana unaushauri mzuri ila ni mvivu wa kuandika,ukishaamua kumsaidia mtu usiwe tena mvivu jombaa