Nasubiri majibu yakeMkoa gani na ni mbao za aina gani unataka ku deal nazo
Sio mbao nyepesi sema mbao laini ama softwood.Mkao kagera, mbao nyepesi hususani seplas/pine
Bukoba, Asante sana mkuuSio mbao nyepesi sema mbao laini ama softwood.
Sasa fika ofisi za mali asili iliyopo karibu yako utapewa maelezo, miongozo, taratibu sheria na vipeperushi. Ni rahisi sana ondoa wasiwasi kagera maeneo gani? fika ofisini kabla hujala mtaji hii biashara inalipa sana kwa wazoefu