Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,467
Muongo yuleKuna mganga ambae amekuwa succesfull kutajirisha watu, yupo Zanzibar anaitwa Al Haj Kiringo. ukifika bandarini muulizie utafahamishwa... ni maarufu sana
Muongo yuleKuna mganga ambae amekuwa succesfull kutajirisha watu, yupo Zanzibar anaitwa Al Haj Kiringo. ukifika bandarini muulizie utafahamishwa... ni maarufu sana
Hawa jamaa wajinga sana halafu mimi wananitumia kwenye line yangu ya voda tu sijui vodacom wana ubia na hawa wachawi!Hii meseji ya ndagu natumiwaga sana sijui wanapata wapi namba zetu hawa.
Muongo yule
Unatembea binti ushafika hadi huko?Muongo yule
Wakuu hawa watu wanakera sana!! Nilitamani kufungua Uzi tujadili kwa kina juu ya huu wiziHawa jamaa wajinga sana halafu mimi wananitumia kwenye line yangu ya voda tu sijui vodacom wana ubia na hawa wachawi!
Ukimtukana anabadilisha namba baada ya wiki kadhaa anatuma tena kwa namba nyingine
Hii meseji ya ndagu natumiwaga sana sijui wanapata wapi namba zetu hawa.
Chukua namba za hao matapeli