Natumaini ni wazima
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ni sehemu gani naweza pata msaada wa kupata hela za majini au za kichawi ambazo takuwa tajiri kwa muda mchache tuu ili niinjoy maisha haya?. Hata kama ni za ndagu mie zazitaka na nipo tayari kukubali masharti ya aina yoyote yale.
Mshana jr na wengine naombeni msaada wenu, NIpo tayari kwa masharti ya aina yoyote yale.
Maisha ni mafupi sana inabidi niyafurahie mda huu
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ni sehemu gani naweza pata msaada wa kupata hela za majini au za kichawi ambazo takuwa tajiri kwa muda mchache tuu ili niinjoy maisha haya?. Hata kama ni za ndagu mie zazitaka na nipo tayari kukubali masharti ya aina yoyote yale.
Mshana jr na wengine naombeni msaada wenu, NIpo tayari kwa masharti ya aina yoyote yale.
Maisha ni mafupi sana inabidi niyafurahie mda huu