MSAADA JINSI YA KUPANDSHA UBORA WA BIDHAA ZANGU NA KUJUA EXPIRE DATE YAKE.

Tumpara Dudu

JF-Expert Member
Nov 15, 2016
617
487
Wakubwa zangu shkamooni.

Kama kichwa cha habar hapo juu kinavyoeleza.

Mm najishughulisha na biashara ya nafaka kama mchele na unga,sembe na dona. Sasa nataka kupandisha thamani ya bidhaa zangu kwakuziwekea vifungashio vya ujazo wa aina mbalimbali kuanzia kilo 5 had 25. Kwa unga na kuanzia kilo 1 ha 5 kwa mchele.

Hata hivyo,nakabiliwa na changamoto ya kuharibika haraka bidhaa zangu na haswa dona. Naomba kama kuna chemical itakayonisaidia kuzuia uharibikaji wa bidhaa zangu haraka bas mnisaidie kuijuwa na pia mnijulishe ni namna gani naweza kujua xpire date ya bidhaa zangu.

Pia,naomba maoni na ushauri wenu kuhusu vifungashio vizuri na vya kuvutia vya mchele na mahali ninapoweza kuvipata na bei zake.
 
Marahaba natumain uko salama

Ninvyoelewa ni kuwa kila kitu tunachotumia kina expire date
Kwanza inatakiwa uhifadhi sehemu salama pasipokuwa na unyevu wowote au maji.
Kuna use by na kuna expire date na kuna best before
Zote hizo ni lazima uziangalie
Unga wote unatofautiana kwa shelf life yake
Unga wa mahindi unaweza kukaa miezi 9 - 12
Na sio kila unachoona mda umeisha haina maana huwezi kukila
Kuhusu mchele unaweza kukaa kwa muda wa miaka 4 mpaka mitano kama umehifadhiwa vizuri
Lakini unapoandika mwisho wa matumizi nashauri uweke miaka 2
Mchele kama ukihifadhiwa oxygen free unaweza kukaa hata miaka 30 ( kweli)
 
Marahaba natumain uko salama

Ninvyoelewa ni kuwa kila kitu tunachotumia kina expire date
Kwanza inatakiwa uhifadhi sehemu salama pasipokuwa na unyevu wowote au maji.
Kuna use by na kuna expire date na kuna best before
Zote hizo ni lazima uziangalie
Unga wote unatofautiana kwa shelf life yake
Unga wa mahindi unaweza kukaa miezi 9 - 12
Na sio kila unachoona mda umeisha haina maana huwezi kukila
Kuhusu mchele unaweza kukaa kwa muda wa miaka 4 mpaka mitano kama umehifadhiwa vizuri
Lakini unapoandika mwisho wa matumizi nashauri uweke miaka 2
Mchele kama ukihifadhiwa oxygen free unaweza kukaa hata miaka 30 ( kweli)
Ubarikiwe mkuu,shukran sana kwa madini haya
 
Mimi sina jibu la moja kwa moja ila mtaa ninaofanyia biashara zangu nimezungukwa ma mashine za kusaga na wanafanya packeging kama upo within dar! Ni bora utembelee upate mawili matatu yatakayoweza kukujenga! Kngine nikushauri kama umefika level ya kuigia miguu miwili ni lazina ukasome! Hata 3 days kuna warsha na walimu wanafundishaga kuhusu food productions
 
Mimi sina jibu la moja kwa moja ila mtaa ninaofanyia biashara zangu nimezungukwa ma mashine za kusaga na wanafanya packeging kama upo within dar! Ni bora utembelee upate mawili matatu yatakayoweza kukujenga! Kngine nikushauri kama umefika level ya kuigia miguu miwili ni lazina ukasome! Hata 3 days kuna warsha na walimu wanafundishaga kuhusu food productions
Mm nipo Dar mkuu. Naomba maelekezo ya hizo mashine zinazofanya packeging na pia ukinielekeza kwa hao walimu wanaotoa elimu hyo,itapendeza zaid
 
Mm nipo Dar mkuu. Naomba maelekezo ya hizo mashine zinazofanya packeging na pia ukinielekeza kwa hao walimu wanaotoa elimu hyo,itapendeza zaid
Ukimaliza kupata somo la packaging ningependa jitolea kwenye branding (logo design & online marketing)
 
Marahaba natumain uko salama

Ninvyoelewa ni kuwa kila kitu tunachotumia kina expire date
Kwanza inatakiwa uhifadhi sehemu salama pasipokuwa na unyevu wowote au maji.
Kuna use by na kuna expire date na kuna best before
Zote hizo ni lazima uziangalie
Unga wote unatofautiana kwa shelf life yake
Unga wa mahindi unaweza kukaa miezi 9 - 12
Na sio kila unachoona mda umeisha haina maana huwezi kukila
Kuhusu mchele unaweza kukaa kwa muda wa miaka 4 mpaka mitano kama umehifadhiwa vizuri
Lakini unapoandika mwisho wa matumizi nashauri uweke miaka 2
Mchele kama ukihifadhiwa oxygen free unaweza kukaa hata miaka 30 ( kweli)
Wana calculate vip hiyo life span?
 
Wana calculate vip hiyo life span?
Unapohifadhi mazao au kinywaji utakijua kwa kuangalia kama kimeharibika au bado
Kwa muda utakaouona wewe ulihifadhi mda gani

Hata wao walihesabu siku mpaka kujua unaharibika kwa mda gani

Kwa mfano mayai au maziwa na pia mazao ni hivyohivyo
 
Sio mtaalamu sana hizi mambo ila kuna uzi humu jf kuhusu kufungasha unga kuna member alielezea vizur sana kuhusu huo unga wa dona nnachokumbuka ni kwamba shida kwamba unga unakuwa unaunyevu nyevu hivyo suluhisho ni kuukausha sana na akapendekeza kuwa na mashine ya umeme ya kukaushia unga na pia kipo kipimo cha unyevu nyevu. Au kwa utaalamu zaid cheki huo uzi na mtafuta huyo jamaa au tembelea watu wa sido,veta na wengne wanaofungasha bidhaa. All the best ndugu
 
Sio mtaalamu sana hizi mambo ila kuna uzi humu jf kuhusu kufungasha unga kuna member alielezea vizur sana kuhusu huo unga wa dona nnachokumbuka ni kwamba shida kwamba unga unakuwa unaunyevu nyevu hivyo suluhisho ni kuukausha sana na akapendekeza kuwa na mashine ya umeme ya kukaushia unga na pia kipo kipimo cha unyevu nyevu. Au kwa utaalamu zaid cheki huo uzi na mtafuta huyo jamaa au tembelea watu wa sido,veta na wengne wanaofungasha bidhaa. All the best ndugu
Asante mkuu naomba nisaidie link ya huo uzi
 
Mimi ni food scientist mkuu, kama unahitaji ushauri na elimu ni-PM. Elimu ni gharama na ni aina ya uwekezaji pia. Kama ulivyowekeza kwenye biashara yako pia jitahidi uwekeze kwenye elimu ya usindikaji na chakula pia.
Wassalaam
 
Back
Top Bottom