financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,094
- 40,614
Thank you mkuu, nitazitafutaNenda maeneo ya msikitini wale maustadhi wenye kuuza dawa za asili lazima watakuwa nazo
Thank you mkuu, nitazitafutaNenda maeneo ya msikitini wale maustadhi wenye kuuza dawa za asili lazima watakuwa nazo
Hapana ni vizuri kuliko kula kilo moja ya nyama vitamins na minerals za matunda ni water soluble.Thank you, ntajitahidi na je yana kipimo mfano atleast machungwa 2 or 1 ,mfano Mimi huwa nakula papai zima, embe mpaka 2 namaliza au huu ni ulafi
Thank youu, and ahsante "mla mikate...Fanya ulivyoshauriwa na huyo sijui daktari sijui ni nani, zaidi jitahidi kunywa maji sana. Kingine jitahidi kupunguza vyakula vya ngano sana mfano mandazi, sijui chapati n.k. Kula nafaka zingine kwa kiasi kidogo na kiasi kikubwa cha mboga za majani. Polee mtaalamu wetu wa mambo ya fedha
Ahsante sasa Sisy, ntazingatia hiliHapana ni vizuri kuliko kula kilo moja ya nyama vitamins na minerals za matunda ni water soluble.
Mkuu, hilo papai la kienyeji naligunduaje hata nikienda sokoni, maana huku mjini kwetu hamna mashamba ni unayakuta sokoni, ulitumia hilo papai pekee Kwa hilo tatizo?Tafuta Papai la kienyeji linalotoa utomvu mweupe sio haya ya kisasa sijui...kula papai niamini tatizo lako litakuwa kwa heri . Talking from experience I had the same challenge but now it's over
Ndyo tena it's among my favorite fruits, nakula sanaKatika hayo matunda unayokula, papai limo?
Mimi naweza kaa wiki mbili nikienda haja lazima nichanike na dawa nitumie, full maumivu hata sijui inakuwajeMama angu yaani we acha tu ,ngoja tupate msaada, sometimes hata week inapita sipati choo kabisa, nikipima uzito naongezeka tu,ila huwa natoa kg 2 nahesabia ni hayo mauchafu aaargh
Mkuu, huwezi amini nakulaga papai zima + embe 2 zilizoiva lakini no changes kihivo aisee,hadi nahisi najaza tumbo tuKula papai zima leo halafu leta mrejesho hapa. Hakuna kama papai!
Labda niongeze zaidi huwa natumiaaKula sana mapapai utapona
Duuh, pole mwayaMimi naweza kaa wiki mbili nikienda haja lazima nichanike na dawa nitumie, full maumivu hata sijui inakuwaje
Aisee ,ntazitafuta hizi vipi ukikimbiza sana eeh?, how I wish nitoe mauchafu yoteeTafuta mbegu za mlonge au unga wake.
Nilipiga majuzi.
Hamna rangi ambayo niliacha kuona
Thank youuPole!....yataisha hayo